Roza house business

Roza house business Roza

31/05/2025

KUDEKEZANA KUNA LETA AFYA YA NDOA NA WANANDOA

Hakuna mke ama mume asiyependa kudekezwa k**a mtoto.

Yaani hata k**a ndevu zimekomaa k**a beberu bado akidekezwa kwa upendo anakuwa mpole na raha zikizidi utashangaa kitambi kinatoka chenyewe k**a bosi.
Kila kona atapokea sifa k**a mume anayepata vitamini adimu kutoka kwa mkewe.

Kwa upande wa mke ni zaidi kwani akidekezwa hata k**a alikuwa kimbaumbau watu wanaanza kusema anatumia mchina maana shape itajitengeneza yenyewe kumpa mvuto wa sura na umbo.

Umbo namba nane litakaloacha utamu kumwagika haliwezi kujificha palipo furaha ya mke.

Yaani k**a kuna jambo tunapaswa kulipa kipaumbele ni kuhakikisha tunafanyika kitulizo cha mwili na roho kwa wenza wetu.

Mume na MKE mwanaume hakikisha unampa nafasi mwenza wako afanye Yale mazuri anayoyajua.

Ubinafsi haufai.
Mdekeze na kumbembeleza kwa mabusu na kila ufundi wa chumbani.
Usiwe mzito kwani huko nje kuna watu ni wepesi kuk**ata fursa ambayo mwenza anaweza kuwa anaikosa ndani kutoka kwako.

Michepuko haina lolote kuwazidi nyie bali uvivu wenu na kuona cha nini? Ndiyo unawapa fursa wanaowaza watakipata lini?

Let them suffocate kwa kukosa fursa ya kuingilia ndoa zetu.

Hawana jipya zaidi ya kusubiria kulala kwetu na kubweteka kwetu kwa kudhani tumefika.

EWE MWANAMKE, CHANGAMKIA NDOA YAKO.


We mwanaume Mueshimu mkeo kwakumuonesha kua yeye niwathamani mbele zako na mbele za watu wote.

MWANAMKE na ndoa Bora .

31/05/2025

SMS 10 KALI ZA KUNOGESHA MAPENZI YAKO.

1__Wangu kipenzi ninayekuenzi, jua
wanitia uchizi na kuninyima usingizi,
sijui k**a una kizizi au ni mapenzi
ndiyo yaninyima huo usingizi, la azizi
nimekumiss kichizi, u hali gani
mpenzi?

2__Japo umeniuzi sina budi kukupa
hizi pongezi, sijui umejifunza wapi
mapenzi, hakika kwako mi ni mfungwa
wa mapenzi! Nakupenza mpenzi
nitunziye langu penzi!

3.__Hakika sikutaraji kulikosa lako
penzi, wataka kuniacha kuniacha
ningali nakuhitaji, mpenzi tambua
nahitaji yako hifadhi na niko radhi
kukupeleka hadi kwa wangu wazazi,
amini kwenda kwa mwingine sihitaji.
Nakupenda.

4__Mpenzi najua u-mbali nami,
majaribu ni mengi wapaswa kujihami,
nitunzie zangu zabibu wangu tabibu,
jitahidi kuwa mvumilivu nitakuja
kukutibu, miss u ma love Ombeni yo kirusha (Week jina lake)

5___ Hakika nimepata tabibu, maradhi
yangu wajua kuyatibu, napenda jinsi
unavyonitibu, huna papara yaani ni
taratibu, mpenzi usijemuonyesha
mwingine hizo zako zabibu,
maswahibu yakatayonisibu hakuna
atakayeweza kuyatibu, nakupenda.

6__Nimeamini wewe ni mtalam wajua
kunitoa hamu, kwa lako penzi tamu mwezio siishiwi hamu, unipapasapo huhisi
kupoteza fahamu, maneno yako
matamu hunizidisha hamu, hakika
wajua kunikamua, l LOVE YOU..

7___ Kuwa nawe najivunia, mtoto
mapenzi wayajua, kiuno, sauti yako
tamu mithili ya chiriki wajua hasa
kuitumia, mua wangu wajua
kuukamua, ukiniacha jua nitaumia,
nakupenda usije niacha nitajiua!

8__Dear siku zimekaribia, miaka ……
utatimiza katika hii dunia, hakika
najivunia kupata mpenzi aliyetulia,
hongera kwa wako wazazi kwa
kunizalia kipenzi, zawadi yangu toka
kwangu ni ahadi ya kulienzi lako penzi.
Happy Birthday mpenzi.

9__Happy birthday mpenzi, nakuombea
kwa mwenyezi akupe maisha marefu
na kukuepusha na maradhi, pongezi
kwa wako wazazi kwa kukuzaa
mpenzi, nakupenda la azizi.

10__Siamini kilichotokea, hakika
nimekukosea, lakini naapa katu
sitorudia, upuuzi niliokufanyia, najua
jinsi gani waumia ndiyo maana
umeninunia, nisamehe mpenzi nafsi Yang

31/05/2025

Mwanamke uliumbwa ili umkamilishe mwanaume hukuumbwa ili ushindane na mwanaume

Mwanamke nisikilize Mimi, niamini Mimi. Mtu asikudanganye, mwanamke uliumbwa ili umkamilishe mwanaume, hukuumbwa ili ushindane na mwanaume. Sijui unaipokeaje moyoni mwako lakini ndio ukweli mchungu kuwa A woman was created to complement a Man but not to compete with a Man.

Mwanamke usikubali kuingizwa mkenge na wanaharakati wanaokuambia upiganie haki sawa na mwanaume. Wengi wa hawa wanaharakati ni wale wanawake wapumbavu waliozibomoa nyumba zao kwa mikono yao wenyewe. Sasa wasikuingize mkenge ili ufanane nao. Wanakuonea wivu hapo kwenye ndoa yako wewe hujui tu. Hakuna 50 kwa 50 na kiongozi wako. Mwanaume ni kiongozi, ni kichwa. Kiongozi ni mmoja tu, wengine ni wasaidizi wa kiongozi.

Huu ndio ukweli mchungu na ukweli ni mmoja tu, hauna mbadala.

👉👉👉👉 Roza house business

31/05/2025

: “Mke anatakiwa kumtii mume wake na Mume jukumu lake ni kumpenda mke wake. Sasa hivi mambo yamekuwa kinyume na ndiyo migogoro ya ndoa inapoibuka

22/05/2025

Oi

19/05/2025

KUHUSU WATU WAKIMYA WAPOLE

1. Wanaweza kuongea na kuzungumza kwa uwazi hata ucheshi na wewe kwenye mitandao ya kijamii lakini katika maisha halisi ni barafu sio wasemaji

2. Wanaweza kuishi bila kutegemea nguzo ya mtu mwengine ( jeshi la mtu mmoja). Wanaweza kukaa ndani kwa wiki bila kujali

3.Wanahesabu matukio, mshik**ano, mguso mdogo wanakasirika upesi , werevu wamapenzi kwa yule wanayempenda. Wagumu kuingia kwenye penzi lakini mara wanapoangukia penzi wanapenda kweli hawatanii

4. Siwasaliti lakini rahisi kugundua usaliti , (wana wasiwasi). Wanaweza kusoma mawazo ya watu kabla hujasema, mara chache huwa na marafiki na washirika katika shughuli zozote, huwa hawafurahii kukaa mahali penye watu wengi na daima hupenda kukaa peke yao

5. Wao huzungumza kwa ugumu katikati ya watu lakini huzungumza kwa upole wanapokuwa na wapenzi wao.
Kwa kawaida watu huwaona k**a watu wanaojivuna sana lakini sivyo.

6. Wanaweza kuvumilia mengi lakini usiwapuuze au kuwachukulia kawaida kwa sababu wakishaamua, umewapoteza jumla huwa hawarudi nyuma

7. Wana hisia sana Hawasahau kwa urahisi mambo mabaya ambayo mtu aliwafanyia

8. Hawashiriki shida zao kwa mtu yeyote au kuomba msaada kwa watu bila kujali wanapitia nini

9. Huwezi kuangalia aina ya mtu kirahisi mpaka utakapokuwa karibu naye
Hazitabiriki

Ikiwa uko kwenye meza hii, kusanyika hapa.

✍️✍️✍️
ROZA HOUSE BUSINESS

19/05/2025

Dada mmoja alikwenda kwenye duka la wanyama kununua kasuku.

Mambo yakawa hivi:

DADA: Nahitaji kununua kasuku ...! 🙄

MMILIKI: Nina aina mbili ya kasuku aina ya kwanza anarudia kila kitu unachozungumza na aina ya pili anafikiria mwenyewe kisha anazungumza"
Je wewe unamtaka yupi?

DADA: Nadhani namtaka anayefikiria mwenyewe.

(MMILIKI akamletea dada kasuku kulingana na alivyochagua kisha akaambiwa amfanyie majaribio.)

DADA: Naonekanaje ?🙄

KASUKU: Unaonekana k**a kahaba ..! 🙄

DADA: (Kwa hasira) "Siwezi kununua kasuku k**a huyu! Hana adabu!" 😡

MMILIKI: Samahani dada naomba unisubiri kidogo.....(akampeleka kasuku nyuma ya duka na kumzamisha kwenye ndoo ya maji kisha akamuonya, "k**a ukirudia tena kumkosea adabu yule dada ntakuja nikuloweke kwenye maji siku nzima ..! 🥵

". MMILIKI aliporudi kaunta akamuomba dada amjaribishe kasuku kwa mara nyingine na akamsihi akisema ".kwa sasa unaweza kumuuliza chochote naamini atakujibu vizuri bila matatizo yoyote"

MAJIBIZANO YAKAWA K**A HIVI:

DADA: K**a nikirudi nyumbani usiku wa manane na nikaja na mwanaume huyo mwanaume atakuwa ni nani ?🙄

KASUKU: Mume wako !😔

DADA: Vizuri! vipi k**a nikija na wanaume wawili ?🙄

KASUKU: Mume wako & shemeji yako ..! 😔

DADA: Vizuri! Vizuri sana" k**a nikija na wanaume watatu je ?🙄

KASUKU: Atakuwa ni mume wako,shemeji yako na kaka yako !😔

DADA: Waooooooo!!! Vipi k**a nikija nyumbani na wanaume wanne ?🙄

KASUKU: (Akageuka nyuma akamwangalia mmiliki wake ) . . . . kisha akasema "Tafadhali kaniloweke kwenye maji, nilishasema mapema kwamba huyu mwanamke ni kahaba !!!😂😂

Roza house business

11/05/2025

Mimi ni house boy lakini mara mingi hua naiba wine🍾🍾 ya boss wangu Kisha naongeza maji Ndio boss asigudue🤭🤭.. mara kadhaa boss akihisi ladha tofauti anapokunywa ile wine🍷🥹🥹.
hivyo aligundua Kuna mchezo mchafu mimi nacheza kwa kukunywa wine yake then naongeza Maji🙄🙄Kwa bahati mbaya au nzuri akanifumania nikiweka Maji Kwa wine yake 🤭🍷lakini Mke wa boss alikua ananitetea ilikumthibitishia mkewe kua mimi ndiye culprit🤣
Boss alianza Kwa kuniuliza maswali🤭🤭.siku hiyo nilikuwa jikoni🙄boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss::🗣️ Makumba
Me::🗣️yes boss
Boss::🗣️nani anakunywa wine Yangu
Me ::🤬kimyaaa sijibu kitu
Boss::🗣️ Makumba
Me :::🗣️Naam boss
boss::🗣️nauliza nani anakunywa wine Yangu halafu anaweka maji😠
Me ::🤬kimyaaa

boss akaamua anikute huko jikoni. akaingia jikoni akaniuliza Makumba 👇👇👇👇
Boss::👉 Kwa nini nikikuita unaitika lakini nikikuuliza swali unanyamaza🙄? Me nikamwambia "boss huku jikoni ndivyo kulivyo, unasikia ukiitwa jina lakini maneno mengine husikii, nak**a huamini Baki hapa jikoni me niende sitting room🙄

Nikaenda sitting room nikaanza kuita boss.

Me ::🗣️boss
boss ::🗣️naam Makumba
Me::🗣️saa sita usiku hua unaenda kufanya nini kwa room yahouse girl??
Boss::🤬kimyaaaa.
Me :::🗣️ boss
Boss::🗣️yes Makumba
Me ::🗣️nauliza ivi room ya house girl saa sita usiku unaendanga kufanya Nini?
Boss::🤬🤬kimyaaaa

Boss akatoka inje akasema "kweli Makumba huko jikoni mtu hasikii kitu labda jina.

Bibi ya boss akasema msinibebe ujinga ivio nyinyi Mbona sielewi😒😠

Me ::👉mama k**a huamini pia wewe enda uone.

Mama akaende jikoni

Me::🗣 nikaita ️mama
Mama::🗣️🗣️yeessss Makumba
Me ::🗣️hiyo mimba Niya boss ama ni yangu?
Mama::🤬🤬kimyaaaa
Me:::🤬mama nakuuliza hiyo mimba Niya boss ama ni Yangu.

mama akatoka inje akasema waah kweli huko unasikia jina tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃

Remember to follow my page ndo ukue unajua nikipost usipitwe

Adresse

@rozahouse. Gmail. Com
Baraka

Téléphone

+243818582321

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Roza house business publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Raccourcis

Partager