John B. Namba ya KSSproduction +243816161230 . COMPÉTITION KSSPRODUCTION ya wasani ,tayari wameanja andika wasani BUTEMBO, BENI, DURBA, MAMBASA, BUNIA, KASINDI.

tujiandikishe.

Shabiki zangu, wakati mwingine tunapata muda wa kucheka. Tunacheka kwa sababu maisha ndiyo yalivyo. Furaha ni kujiachili...
16/04/2026

Shabiki zangu, wakati mwingine tunapata muda wa kucheka. Tunacheka kwa sababu maisha ndiyo yalivyo. Furaha ni kujiachilia na kufikiria mambo mengine na hivyo ndivyo mwaka unavyoenda kuisha.

Huu ni wimbo wangu upi ?
16/04/2026

Huu ni wimbo wangu upi ?

Happy Birthday, rafiki yangu wa karibu na mwenzangu katika muziki,  .Nakutakia mafanikio makubwa, afya njema na baraka t...
15/04/2026

Happy Birthday, rafiki yangu wa karibu na mwenzangu katika muziki, .

Nakutakia mafanikio makubwa, afya njema na baraka tele katika maisha na safari yako ya muziki.

Joyeux anniversaire 🎂 🎂  Ma sœur chérie Mariana Speedy Girls
15/04/2026

Joyeux anniversaire 🎂 🎂 Ma sœur chérie Mariana Speedy Girls

Bonne journée à vous
15/04/2026

Bonne journée à vous

Ninapoimba, nahisi furaha ya ajabu sana, kiasi kwamba siwezi hata kuieleza kwa maneno. Ni k**a roho yangu inapata uhuru,...
15/04/2026

Ninapoimba, nahisi furaha ya ajabu sana, kiasi kwamba siwezi hata kuieleza kwa maneno. Ni k**a roho yangu inapata uhuru, k**a moyo wangu unazungumza kile ambacho maneno ya kawaida hayawezi kusema. Kila sauti ninayotoa inanipa amani, inanipa nguvu, na inanifanya nijisikie hai zaidi kuliko kawaida. Kuimba si burudani tu kwangu, ni sehemu ya maisha yangu, ni njia yangu ya kujieleza na kuwasiliana na ulimwengu.

KSS Production Studio.  K**a unatamani siku moja upite hapo. Namba ya muongozi ipo kwenye Coment ( Commentaires  )
14/04/2026

KSS Production Studio. K**a unatamani siku moja upite hapo. Namba ya muongozi ipo kwenye Coment ( Commentaires )

Kiukweli, maisha ni changamoto sana. Nje tunaonekana tuko sawa, lakini ndani tunapitia mapambano makubwa ya kihisia na k...
14/04/2026

Kiukweli, maisha ni changamoto sana. Nje tunaonekana tuko sawa, lakini ndani tunapitia mapambano makubwa ya kihisia na kiakili 🤔.

Mungu peke yake ndiye anayetutosha katika magumu tunayopitia. Wakati mwingine tunatamani kulia, kuacha kila kitu, kusahau tulichofanya au tunachofanya. Mawazo huchanganyika kichwani, na mwisho tunabaki hatujui nini kitakachotokea mbele 😭.

Kuna wakati najiuliza, je siku moja nitatoboa?Lakini moyo wangu huniambia kuwa kila kitu kina wakati wake.Hivyo naendele...
11/04/2026

Kuna wakati najiuliza, je siku moja nitatoboa?
Lakini moyo wangu huniambia kuwa kila kitu kina wakati wake.
Hivyo naendelea kujituma kwa bidii, nikiwa na subira, nikiamini siku yangu itafika.

Kuchukuliana mizigo ni ishara ya urafiki wa kweli.Katika maisha, hakuna anayepaswa kubeba peke yake.Tukiwa pamoja, shida...
11/04/2026

Kuchukuliana mizigo ni ishara ya urafiki wa kweli.
Katika maisha, hakuna anayepaswa kubeba peke yake.
Tukiwa pamoja, shida hupungua na matumaini huongezeka.
Upendo na mshik**ano hutufanya kuwa na nguvu zaidi.

Big up watu wangu ❤️❤️

Adresse

Goma RDC
Goma

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque John B. publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Partager