Muhammad -saww- Mtume wa Umma

Muhammad -saww- Mtume wa Umma Uislamu ni Dini ya Amani, Dini ya Haki, Usawa na Uadilifu.

Al-Basira kutoka katika Vitabu vya Ahlus-Sunnah 13Kuondoa mashaka katika kuthibitisha kwamba Ahlul-Bayt ni kinga na usal...
28/07/2026

Al-Basira kutoka katika Vitabu vya Ahlus-Sunnah 13

Kuondoa mashaka katika kuthibitisha kwamba Ahlul-Bayt ni kinga na usalama kwa Ummah

Mwenyezi Mungu Mtukufu amesema:
{Na Yeye ndiye aliyekujaalieni nyota ili miongozwe nazo}.

(Sura Al-An‘am: 97)
Je, ni akina nani hao “nyota” ambao tunaongozwa nazo? 🤔

Mtume Muhammad (s.a.w.w) amesema:

"Nyota ni kinga kwa watu wa mbinguni; zitakapoondoka, yatawafikia yale waliyoahidiwa. Na mimi ni kinga kwa Maswahaba wangu maadamu niko pamoja nao; nitakapoondoka, yatawafikia yale waliyoahidiwa. Na Ahlul-Bayt wangu ni kinga kwa Ummah wangu; watakapoondoka Ahlul-Bayt wangu, yatawafikia yale waliyoahidiwa."

(Al-Mustadrak ‘ala al-Sahihayn, Hadithi Na. 3721. Al-Hakim amesema: Isnadi yake ni sahihi).
Na pia amesema:

"Nyota ni kinga kwa watu wa ardhini kutokana na kuzama (majini), na Ahlul-Bayt wangu ni kinga kwa Ummah wangu kutokana na mifarakano. Ikiwa kabila lolote miongoni mwa Waarabu litapingana nao, watagawanyika na kuwa kundi la Shetani."

(Al-Mustadrak ‘ala al-Sahihayn, Juz. 3, Uk. 162. Al-Hakim amesema: Isnadi yake ni sahihi).

Na Aisha, Talha, Zubair na Muawiya walipingana na Ahlul-Bayt (a.s). Na yeyote anayepingana nao huwa katika kundi la Shetani. Wala hawafuati kundi la Shetani isipokuwa mashetani.

05/07/2026
🎥📸🇮🇷Maafisa na Mawaziri wa Iran Washiriki Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds Mjini Tehran🔻 Maafisa na mawaziri kadh...
13/03/2026

🎥📸🇮🇷Maafisa na Mawaziri wa Iran Washiriki Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds Mjini Tehran

🔻 Maafisa na mawaziri kadhaa wa Iran wameshiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yaliyofanyika katika Mji Mkuu Tehran, wakijiunga na maelfu ya wananchi waliokusanyika kuonyesha mshikamano na watu wa Palestina.

2️⃣ABNA NEWS -SWAHILI💠
👇🏾
📢Sauti ya Wasiokuwa na Sauti
⬇️
https://whatsapp.com/channel/0029VbCfXCL3LdQQnHHI6i1K

🕌🤲🏾   wamefanya ibada na a’mali mbalimbali katika kuhuisha Usiku Mtukufu wa Tatu wa Laylatul Qadr (Usiku wa Makadirio) ....
13/03/2026

🕌🤲🏾 wamefanya ibada na a’mali mbalimbali katika kuhuisha Usiku Mtukufu wa Tatu wa Laylatul Qadr (Usiku wa Makadirio) ... Na kuiombea Ushindi pamoja na Muqawama wa Kiislamu nchini Lebanon katika Mapambano yao Haki dhidi ya Batili.

2️⃣ABNA NEWS -SWAHILI💠
👇🏾
Sauti ya Wasiokuwa na Sauti
⬇️
https://whatsapp.com/channel/0029VbCfXCL3LdQQnHHI6i1K

Sayyid Ali Khamenei: Sisi sio watu wa kwenye mahandaki
12/03/2026

Sayyid Ali Khamenei: Sisi sio watu wa kwenye mahandaki

17/01/2026

Address

Qom
0098

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Muhammad -saww- Mtume wa Umma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category