30/03/2026
LION'S EAR AMA MSHELISHELI
mmea huu kila mtu anajua vizuri tu kipindi cha utoto wetu k**a ulikuwa soda yetu ya asili ayo maua yake kila mtu alikuwa anavyoza hayo maua yake yalikuwa utamu fulani ila kwa wadogo zetu hawa wakipindi hiki hawawezi kujua
Leo nataka kukupa darasa kwamba huu mmea dawa kubwa unatibu magonjwa mengi sana๐๐
1 dawa ya ugonjwa wa tonsils
chukua majani yake tafuna na umeze utaleta ushuhuda mwenyew ugonjwa utapotea
2 ukichemsha matawi maua na miziz yake kisha unakunywa inasadia matatizo ya uzazi ( kuimarisha uwezo wa kushika mimba)
3 pia hii inasdia akina dada wenyewe maji mengi (ukeni )chemsha kunywa miziz yake na majani
4 mimi natumia sana kuchemsha matawi na maua yake halafu na kunywa uleta utulivu wa mwili na kuleta usingizi k**a upati using usingizi
5 majani yake ukikausha ukachoma ukapata jivu lake tiba ya kifua kwa mtoto unampa alambe
6 kata kijiti kidogo tembea nacho kwa bag wallet yako uleta bahati kusaidiwa haraka kila mahala unako enda
Kwa leo nishiye hapa nitakuja kueleza jinsi kuandaa mti huu kutibu ( CANCER)
w nangili