musaada kutoka juu mbinguni

musaada kutoka juu mbinguni prech

06/09/2026

Upako ni nini? Kwa ufupi sana upako ni nguvu za MUNGU,huwezi kushinda mambo ya rohoni bila kuwa na upako au nguvu za MUNGU ,watu wengi hawaelewi wanaposikia neno upako,pia watu wengi wanafikili ukiomba tu tayali MUNGU anajibu apana Kuna vigezo na hatua mbalimbali.ili uweze kupata majibu lazima uwe na nguvu za MUNGU,na nguvu za MUNGU huzipati bila utakatifu au usafi wa rohoni,baada ya hapo maombi yako hupitia michakato mbalimbali kwanza ROHO MTAKATIFU huyapangilia vizuri na baadae huyapeleka mikononi mwa Malaka wa kwanza na baadae malaika wa pili mpaka kwa MUNGU mwenyewe.
Warumi 8:26
Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa.

Ufunuo wa Yohana 5:8
Hata alipokitwaa kile kitabu, hao wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele za Mwana-Kondoo, kila mmoja wao ana kinubi, na vitasa vya dhahabu vilivyojaa manukato, ambayo ni maombi ya watakatifu.

Ufunuo wa Yohana 8:3
Na malaika mwingine akaja akasimama mbele ya madhabahu, mwenye chetezo cha dhahabu, akapewa uvumba mwingi, ili autie pamoja na maombi ya watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu, iliyo mbele ya kiti cha enzi.

Ufunuo wa Yohana 8:4
Na moshi wa ule uvumba ukapanda mbele za Mungu pamoja na maombi ya watakatifu, kutoka mkononi mwa malaika.

06/09/2026

MUNGU wa mbinguni akufanikishe Kila hatua

06/09/2026

Mapepo ni viumbe visivyo na mwili vinavyotumiwa na shetani,mapepo pia ndo jeshi la kuzimu na jeshi la shetani,mapepo ni malaika walio asi MUNGU,mapepo ndio majini.
Mapepo hufanya kazi kwa utii kwa watu wote wa giza waliyo yatuma,mapepo hayamvamii mtu bila sababu au bila uhalali wa kumvamia mhusika.mapepo hayafi ila yakizidiwa yanakimbia tu na yakipata mrango wa kurudi yanarudi.Mathayo 12:43
Pepo mchafu, amtokapo mtu, hupitia mahali pasipo maji, akitafuta mahali pa kupumzika, asipate.

Mathayo 12:44
Halafu husema, Nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka; hata akija, aiona tupu, imefagiwa, na kupambwa.

Mathayo 12:45
Mara huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.

Matthew 23:25-35[25]Woe unto you, scribes and Pharisees, hypocrites! for ye make clean the outside of the cup and of the...
05/09/2026

Matthew 23:25-35
[25]Woe unto you, scribes and Pharisees, hypocrites! for ye make clean the outside of the cup and of the platter, but within they are full of extortion and excess.
Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang’anyi na kutokuwa na kiasi.
[26]Thou blind Pharisee, cleanse first that which is within the cup and platter, that the outside of them may be clean also.
Ewe Farisayo kipofu, safisha kwanza ndani ya kikombe, ili nje yake nayo ipate kuwa safi.
[27]Woe unto you, scribes and Pharisees, hypocrites! for ye are like unto whited sepulchres, which indeed appear beautiful outward, but are within full of dead men's bones, and of all uncleanness.
Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yamejaa mifupa ya wafu, na uchafu wote.
[28]Even so ye also outwardly appear righteous unto men, but within ye are full of hypocrisy and iniquity.
Vivyo hivyo ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.
[29]Woe unto you, scribes and Pharisees, hypocrites! because ye build the tombs of the prophets, and garnish the sepulchres of the righteous,
Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnayajenga makaburi ya manabii, na kuyapamba maziara ya wenye haki,
[30]And say, If we had been in the days of our fathers, we would not have been partakers with them in the blood of the prophets.
na kusema, K**a sisi tungalikuwako zamani za baba zetu, hatungalishirikiana nao katika damu ya manabii.
[31]Wherefore ye be witnesses unto yourselves, that ye are the children of them which killed the prophets.
Hivi mwajishuhudia wenyewe, ya kwamba ninyi ni wana wao waliowaua manabii.
[32]Fill ye up then the measure of your fathers.
Kijazeni basi kipimo cha baba zenu.
[33]Ye serpents, ye generation of vipers, how can ye escape the damnation of hell?
Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?
[34]Wherefore, behold, I send unto you prophets, and wise men, and scribes: and some of them ye shall kill and crucify; and some of them shall ye scourge in your synagogues, and persecute them from city to city:
Kwa sababu hiyo, angalieni, mimi natuma kwenu manabii na wenye hekima na waandishi; na wengine wao ninyi mtawaua na kuwasulibisha, na wengine wao mtawapiga katika masinagogi yenu, na kuwafukuza mji kwa mji;
[35]That upon you may come all the righteous blood shed upon the earth, from the blood of righteous Abel unto the blood of Zacharias son of Barachias, whom ye slew between the temple and the altar.
hivyo ije juu yenu damu yote ya haki iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya Habili, yule mwenye haki, hata damu ya Zakaria bin Barakia, mliyemwua kati ya patakatifu na madhabahu.

Matthew 23:25-26[25]Woe unto you, scribes and Pharisees, hypocrites! for ye make clean the outside of the cup and of the...
05/09/2026

Matthew 23:25-26
[25]Woe unto you, scribes and Pharisees, hypocrites! for ye make clean the outside of the cup and of the platter, but within they are full of extortion and excess.
Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang’anyi na kutokuwa na kiasi.
[26]Thou blind Pharisee, cleanse first that which is within the cup and platter, that the outside of them may be clean also.
Ewe Farisayo kipofu, safisha kwanza ndani ya kikombe, ili nje yake nayo ipate kuwa safi.

Matthew 23:13-16[13]But woe unto you, scribes and Pharisees, hypocrites! for ye shut up the kingdom of heaven against me...
05/09/2026

Matthew 23:13-16
[13]But woe unto you, scribes and Pharisees, hypocrites! for ye shut up the kingdom of heaven against men: for ye neither go in yourselves, neither suffer ye them that are entering to go in.
Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnawafungia watu ufalme wa mbinguni; ninyi wenyewe hamwingii, wala wanaoingia hamwaachi waingie.
[14]Woe unto you, scribes and Pharisees, hypocrites! for ye devour widows' houses, and for a pretence make long prayer: therefore ye shall receive the greater damnation.
[Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnakula nyumba za wajane, na kwa unafiki mnasali sala ndefu; kwa hiyo mtapata hukumu iliyo kubwa zaidi.]
[15]Woe unto you, scribes and Pharisees, hypocrites! for ye compass sea and land to make one proselyte, and when he is made, ye make him twofold more the child of hell than yourselves.
Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja kuwa mwongofu; na akiisha kufanyika, mnamfanya kuwa mwana wa jehanum mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe.
[16]Woe unto you, ye blind guides, which say, Whosoever shall swear by the temple, it is nothing; but whosoever shall swear by the gold of the temple, he is a debtor!
Ole wenu viongozi vipofu, ninyi msemao, Mtu atakayeapa kwa hekalu, si kitu; bali mtu atakayeapa kwa dhahabu ya hekalu, amejifunga.

Luke 6:26-28,30-36,48-49[26]Woe unto you, when all men shall speak well of you! for so did their fathers to the false pr...
05/09/2026

Luke 6:26-28,30-36,48-49
[26]Woe unto you, when all men shall speak well of you! for so did their fathers to the false prophets.
Ole wenu ninyi watu wote watakapowasifu, kwa kuwa baba zao waliwatenda manabii wa uongo mambo k**a hayo. Upendo kwa Adui
[27]But I say unto you which hear, Love your enemies, do good to them which hate you,
Lakini nawaambia ninyi mnaosikia, Wapendeni adui zenu, watendeeni mema wale ambao wawachukia ninyi,
[28]Bless them that curse you, and pray for them which despitefully use you.
wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi, waombeeni wale ambao wawaonea ninyi.
[30]Give to every man that asketh of thee; and of him that taketh away thy goods ask them not again.
Mpe kila akuombaye, na akunyang’anyaye vitu vyako, usitake akurudishie.
[31]And as ye would that men should do to you, do ye also to them likewise.
Na k**a mnavyotaka watu wawatendee ninyi, watendeeni vivyo hivyo.
[32]For if ye love them which love you, what thank have ye? for sinners also love those that love them.
Maana mkiwapenda wale wawapendao ninyi, mwaonyesha fadhili gani? Kwa kuwa hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.
[33]And if ye do good to them which do good to you, what thank have ye? for sinners also do even the same.
Nanyi mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mwaonyesha fadhili gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
[34]And if ye lend to them of whom ye hope to receive, what thank have ye? for sinners also lend to sinners, to receive as much again.
Na mkiwakopesha watu huku mkitumaini kupata kitu kwao, mwaonyesha fadhili gani? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, ili warudishiwe vile vile.
[35]But love ye your enemies, and do good, and lend, hoping for nothing again; and your reward shall be great, and ye shall be the children of the Highest: for he is kind unto the unthankful and to the evil.
Bali wapendeni adui zenu, tendeni mema, na kukopesha msitumaini kupata malipo, na thawabu yenu itakuwa nyingi; nanyi mtakuwa wana wa Aliye juu, kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasiomshukuru, na waovu.
[36]Be ye therefore merciful, as your Father also is merciful.
Basi, iweni na huruma, k**a Baba yenu alivyo na huruma. Kuwahukumu Wengine
[48]He is like a man which built an house, and digged deep, and laid the foundation on a rock: and when the flood arose, the stream beat vehemently upon that house, and could not shake it: for it was founded upon a rock.
Mfano wake ni mtu ajengaye nyumba, na kuchimba chini sana, na kuweka msingi juu ya mwamba; na kulipokuja gharika, mto uliishukia nyumba ile kwa nguvu, usiweze kuitikisa; kwa kuwa imejengwa vizuri.
[49]But he that heareth, and doeth not, is like a man that without a foundation built an house upon the earth; against which the stream did beat vehemently, and immediately it fell; and the ruin of that house was great.
Lakini yule aliyesikia ila hakutenda, mfano wake ni mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi pasipokuwa na msingi, mto ukaishukia kwa nguvu, ikaanguka mara; na maangamizi yake nyumba ile yakawa makubwa.

Luke 6:26-28,30-36[26]Woe unto you, when all men shall speak well of you! for so did their fathers to the false prophets...
05/09/2026

Luke 6:26-28,30-36
[26]Woe unto you, when all men shall speak well of you! for so did their fathers to the false prophets.
Ole wenu ninyi watu wote watakapowasifu, kwa kuwa baba zao waliwatenda manabii wa uongo mambo k**a hayo. Upendo kwa Adui
[27]But I say unto you which hear, Love your enemies, do good to them which hate you,
Lakini nawaambia ninyi mnaosikia, Wapendeni adui zenu, watendeeni mema wale ambao wawachukia ninyi,
[28]Bless them that curse you, and pray for them which despitefully use you.
wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi, waombeeni wale ambao wawaonea ninyi.
[30]Give to every man that asketh of thee; and of him that taketh away thy goods ask them not again.
Mpe kila akuombaye, na akunyang’anyaye vitu vyako, usitake akurudishie.
[31]And as ye would that men should do to you, do ye also to them likewise.
Na k**a mnavyotaka watu wawatendee ninyi, watendeeni vivyo hivyo.
[32]For if ye love them which love you, what thank have ye? for sinners also love those that love them.
Maana mkiwapenda wale wawapendao ninyi, mwaonyesha fadhili gani? Kwa kuwa hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.
[33]And if ye do good to them which do good to you, what thank have ye? for sinners also do even the same.
Nanyi mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mwaonyesha fadhili gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
[34]And if ye lend to them of whom ye hope to receive, what thank have ye? for sinners also lend to sinners, to receive as much again.
Na mkiwakopesha watu huku mkitumaini kupata kitu kwao, mwaonyesha fadhili gani? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, ili warudishiwe vile vile.
[35]But love ye your enemies, and do good, and lend, hoping for nothing again; and your reward shall be great, and ye shall be the children of the Highest: for he is kind unto the unthankful and to the evil.
Bali wapendeni adui zenu, tendeni mema, na kukopesha msitumaini kupata malipo, na thawabu yenu itakuwa nyingi; nanyi mtakuwa wana wa Aliye juu, kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasiomshukuru, na waovu.
[36]Be ye therefore merciful, as your Father also is merciful.
Basi, iweni na huruma, k**a Baba yenu alivyo na huruma. Kuwahukumu Wengine

Luke 6:26-28[26]Woe unto you, when all men shall speak well of you! for so did their fathers to the false prophets. Ole ...
05/09/2026

Luke 6:26-28
[26]Woe unto you, when all men shall speak well of you! for so did their fathers to the false prophets.
Ole wenu ninyi watu wote watakapowasifu, kwa kuwa baba zao waliwatenda manabii wa uongo mambo k**a hayo. Upendo kwa Adui
[27]But I say unto you which hear, Love your enemies, do good to them which hate you,
Lakini nawaambia ninyi mnaosikia, Wapendeni adui zenu, watendeeni mema wale ambao wawachukia ninyi,
[28]Bless them that curse you, and pray for them which despitefully use you.
wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi, waombeeni wale ambao wawaonea ninyi.

05/09/2026

Address

Dareslam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when musaada kutoka juu mbinguni posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category