20/07/2026
Jipatie dagaa wazuri wa kukaanga wa mwanza
Kwetu utajipatia dagaa waliondaliwa kwa usafi na ubora wa hali ya juu wanaokidhi viwango vya soko na mlaji.
Tunahudumia wafanyabiashara wadogo na wakubwa kwa uaminifu mkubwa,na faida unayopata hutajuta kuhudumiwa na sisi.
Tunakuwezesha wewe mfajabiashara mdogo kuanza na kile ulichonacho na kujakikisha unakua kufikia lengo lako.
Tunauza dagaa jumla na rejareja,kwetu mteja ni mfalme,tunafanya delivery na kutuma mikoa yote ndaninya Tanzania
Tunapatikana Ofisi yetu kuu Mwanza na kwa Dar es Salaam tunapatikana katika ofisi zetu za Tabata na kiluvya.
Mawasiliano
Call/WhatsApp 0777861024