kwel nimeamin wachambuz wa bongi wengi ni uchwara san nikikumbuk misimu kaadhaa nyuma simba alipo twaa ubigwa mala 4 mtawalia hatukusikia kelele kwa yanga japo mengi yalifanyika lakin sasa baada ya yanga kuanza kutwaa ubigwa mhh mala utasikia wana nunua mech mala malef hiv mala timu mbovu
anyway but ngoja niende kwenye maina boby
yanaga alaisem uwanja wa meja jenerali isamuyo ni mbovu mama wachambuz uchwar sasa mala yanga nakimbia mechi daah ikiwemo na yule ngeleza na nwenzake aya mbugi ikapigwa watu mbili mbili aya leo hao hao waliosem uwanja mzur tok dab imechezwa mvua haijanyesha aya sasa wanehama uwanja eti uwanja mbovu wakati yanga alipo sem alionekan yanga mnokobaya kikowapi but yang alizulumiwa penat ya depu ni clear penarty lakin hatuja sikia kelele yeyote okey niishie hapoo
06/05/2026
yna hap bongo kun wachambuzi uchwara 2 yana juzi kwenye dabi yanga kazulumiwa penaty dhidi ya simba sijaon hao wachambuzi kuzungumzia lakin leo kwenye mechi ya kmc kun penaty bas sasa watu walivyo kaz makomwe kusem yang anabebwa je yanga yeye han haki ha kudai haki zake ingekua ndio simba ile ciku mama dunia nzima ingejua daah au ndio ile simba kabeba mimba mate mji mzimaaa mhhh hatari tuacha ushabiki tuchambue mpira simameni kote sio upande mmojaaaa
Tomorrow & Today
04/05/2026
hatimae simba anashindwa kutamba mbele ya yanga baada ya kufanuiwa came back daah
03/05/2026
Watch, follow, and discover more trending content.
Be the first to know and let us send you an email when Tomorrow & Today posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.