03/03/2025
Kwa nini hii Picha?
Juzi tulipata oda ya bamia zetu organic kutoka kwa Daktari wa viungo pale Hospital ya Muhimbili. Fahamu yaliyomsukuma kuagiza toka kwetu:-
1. Mazao yetu yanazalishwa kwa njia Hai (Organic) bila utumizi wa dawa za viwandani.
2. Tunajali utu, muda na uchumi wa kila alietuzunguka.
Sisi ni Akila Kilimo Hai, tunapatikana Kimanzichana Pwani na Kibada Dar Es Salaam.
Karibu sana kwa mahitaji ya chakula kisicho na SUMU.