Kili new tv

Kili new tv News

  Mohsen Rezaei, ambaye ni mwanachama wa Baraza la Ushauri la Maslahi ya Taifa la Iran na k**anda wa zamani wa Jeshi la ...
18/05/2026

Mohsen Rezaei, ambaye ni mwanachama wa Baraza la Ushauri la Maslahi ya Taifa la Iran na k**anda wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), ameionya Marekani kusitisha kile alichokiita mzingiro wa kijeshi wa majini dhidi ya bandari za Iran.

Akizungumza kupitia televisheni ya taifa ya Iran, Rezaei alisema kuwa jeshi la Iran liko tayari kwa mapambano zaidi iwapo Marekani itaendelea na hatua hiyo.

Aliongeza kuwa Bahari ya Oman inaweza kuwa “kaburi” la majeshi ya Marekani endapo mvutano utaongezeka.

Rezaei alieleza kuwa hatua ya Marekani kuzuia shughuli za majini za Iran ni “tendo la vita” na kwamba Iran ina haki ya kujibu kwa kujilinda.

Aidha, alisema kuendelea kwa vikwazo hivyo kutasababisha madhara makubwa kwa mataifa mengi duniani, hasa kupitia usumbufu wa biashara za kimataifa na soko la nishati katika eneo la Mashariki ya Kati.

Hata hivyo, licha ya matamshi hayo makali, Rezaei alisema bado kuna juhudi za kidiplomasia zinazoendelea ili kumaliza mzozo huo.

Alisisitiza kuwa sasa ni jukumu la Marekani kuonyesha nia ya kweli ya kutafuta suluhisho la amani. Kwa mujibu wake, vikosi vya Iran viko tayari kijeshi, lakini milango ya diplomasia bado iko wazi.

18/05/2026

Updated news ⌚️

BREAKING NEWS: KENYA JOINS WW3. We have declared war on Iran and the axis powers. Together with NATO and the allied powe...
18/05/2026

BREAKING NEWS: KENYA JOINS WW3. We have declared war on Iran and the axis powers. Together with NATO and the allied powers, Kenya is going on the offensive against the Ayatollahs and any country that will show aggression towards Kenyan citizens. As the commander in Chief of the Kenya defense forces, I am sending the first contingent of 5000 soldiers to our military base in Yemen and UAE. William Ruto

03/03/2026

Mambo yameanza kua magumu

02/03/2026

Idadi ya vifo vya raia nchini Israel yazidi kuongezeka kupitia mashambulizi anayoyafanya Iran katika taifa la Israel.

Viongozi wa juu wa Israel wamepiga marufuku kutangaza au kupiga picha mashambulizi anayoyafanya ndani ya Israel.

Lakini tukumbuke Iran alitangaza akasema vita hii ni ya mwisho na katika vita hii nani ataonekana ni mbabe na nani ataonekana ananguvu ndani ya middle east.

Iran amesema hatoacha vita mpaka hahakikishe Israel ameimaliza kabisa.

01/03/2026

: Moja ya tukio kubwa katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo ni goli lililofungwa na Selemani Mwalimu kisha Mwamuzi msaidizi Kassim Mpanga kunyoosha kibendera kuashiria Mwalimu alikuwa oneo la kuotea (Offside)

Ipi ni tafsiri yako katika tukio hilo, goli au siyo goli (Offside?

FT: Yanga 0-0 Simba

01/03/2026

Kikosi kazi cha leo dhidi ya Simba SC


01/03/2026

Picha mbalimbali zikionyesha mwili wa aliyekuwa Kiongozi mkuu wa Iran Ali khemenei baada ya shambulizi la rais wa marekani Donald trump shambulio lililopelekea khnemenei aangukiwe na ukuta na kupoteza maisha

“Leo hii tunakosa kitu kinachoitwa Umma wa Kiislamu kuna nchi nyingi za Kiislamu duniani tupo zaidi ya Waislamu billion ...
01/03/2026

“Leo hii tunakosa kitu kinachoitwa Umma wa Kiislamu kuna nchi nyingi za Kiislamu duniani tupo zaidi ya Waislamu billion mbili duniani lakini neno UMMA halifanyi kazi kwetu kwasababu hatujaungana, neno UMMA hutokana na Watu walioungana na kuelekea njia moja kwa lengo moja, sisi Waislamu hatupo hivyo tumegawanyika na hiyo ndio inasababisha tukaribishe Maadui wengi sana hadi baadhi ya nchi za Kiislamu zinapambana kuungana na Marekani ili wapate msaada”

- Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran (Desemba, 2025)

Toa maoni yako


19/02/2026

Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Said Ally Bungara, maarufu k**a "Bwege," ametangaza rasmi kujivua uanachama wa chama cha ACT Wazalendo.

Katika taarifa yake aliyoitoa kwa umma 18 Februari 2026, Bwege ameeleza kuwa uamuzi huo umetokana na hiyari yake mwenyewe k**a mtu huru, baada ya kutafakari kwa muda mrefu na kugundua kuwa ACT Wazalendo si "rafiki sahihi" katika safari yake ya kisiasa k**a alivyokuwa amefikiria awali.

“ACT Wazalendo si rafiki sahihi kwangu, nilivyofikiria ni tofauti na nilivyohisi. Kuanzia sasa mimi si mwanachama wa ACT Wazalendo tena kuanzia tarehe 18/2/2026. Mengine nitaongea baadaye. Ninategemea kushirikiana na kulitumia jukwaa la CHADEMA katika siasa za kudai demokrasia na maendeleo la taifa langu nilipendalo-Tanzania”, ameandika Bwege. news tv

Address

Kilimanjaro
Moshi
5889

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kili new tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category