Dk. Caphar

Dk. Caphar Am the good boy

29/01/2026

Kocha wa Zamani wa Simba SC raia wa Algeria ameendelea kugonga vichwa vya vigogo wa soka barani Afrika baada ya kuonyesha misimamo yake mikali ya maisha yake ya soka

Benchikha imekuwa ngumu kusikia amefutwa kazi kwenye klabu yyte badala yake yeye hua anaacha kazi mapema kabisa

Unakumbuka alipokua Simba SC Benchika aliacha kazi baada ya muda mchache tu alioutumia ndani ya kikosi hicho akieleza ana matatizo ya kifamilia na kutimkia JS Kabylie

Huko pia alikaa kwa muda mchache akasema hana amani, mashabiki wanatishia usalama wake na familia yake akawasilisha barua ya kuachia ngazi kwenye klabu hiyo akatimkia USM Alger

Nako amewasilisha jana barua ya kuachia ngazi, na kufanya rekodi yake ya kutodumu kwenye vilabu kuendelea

Je wapi anaelekea mwamba huyu??

19/03/2025

African food Products (T) ltd.

Address

1288
Mwadui

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dk. Caphar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category