Shamba la Nyuki Biharamulo

Shamba la Nyuki Biharamulo Hili ni shamba maalumu la ufugaji nyuki lililopo wilayani Biharamulo mkoa wa Kagera, Tanzania.

30/05/2026

Uvunaji wa kitaalamu wa sumu ya nyuki unaendelea kwa kutumia mbinu salama na za kisasa za ufugaji nyuki.

Karibuni Shamba la Nyuki Biharamulo

Mchakato huu huhakikisha ukusanyaji endelevu huku ukilinda afya ya nyuki na ufanisi wa mzinga.

Apicultural expertise constitutes a gateway to enhanced productivity, ecological sustainability and long-term economic e...
24/05/2026

Apicultural expertise constitutes a gateway to enhanced productivity, ecological sustainability and long-term economic empowerment.

Karibuni Shamba la Nyuki Biharamulo tusomeshane asili hii.

Maumbile ya hexagon kwenye sega yanaonyesha akili ya asili. Bees use hexagons for strength, space and efficiency.
23/05/2026

Maumbile ya hexagon kwenye sega yanaonyesha akili ya asili.

Bees use hexagons for strength, space and efficiency.

HUDUMA YA UOKOAJI WA MAKUNDI YA NYUKI.Je, kuna kundi la nyuki limeingia nyumbani, shuleni, ofisini, sokoni, kanisani, ms...
13/05/2026

HUDUMA YA UOKOAJI WA MAKUNDI YA NYUKI.

Je, kuna kundi la nyuki limeingia nyumbani, shuleni, ofisini, sokoni, kanisani, msikitini, stoo, kwenye mazao au maeneo ya biashara?

Tunatoa huduma ya haraka na salama ya kuokoa na kuhamisha makundi ya nyuki bila madhara kwa watu, mali au mazingira.

Nyuki ni muhimu kwa mazingira na uzalishaji wa chakula, hivyo wasiuawe waokolewe kitaalamu.

Simu: +255 759 886 429
Barua pepe: [email protected]

Menejimenti ya Shamba la Nyuki Biharamulo

Karibuni Shamba la Nyuki Biharamulo tuijenge asili kwa kufanya ufugaji wa nyuki kibiashara kwa ajili ya kipato, uendelev...
05/05/2026

Karibuni Shamba la Nyuki Biharamulo tuijenge asili kwa kufanya ufugaji wa nyuki kibiashara kwa ajili ya kipato, uendelevu wa ikolojia na urafiki wa wadudu.

I’m grateful to ANZA Entrepreneurs for the impactful REAT training.I’ve gained practical skills in business development,...
13/04/2026

I’m grateful to ANZA Entrepreneurs for the impactful REAT training.

I’ve gained practical skills in business development, market mapping and pitching, now applied in MM SMARTFARM.

Excited for growth and open to collaborations!

Kazi ya Shamba la Nyuki Biharamulo ni kuleta asali moja kwa moja kutoka kwenye mzinga hadi mezani kwako.Karibu kwa mzigo...
12/04/2026

Kazi ya Shamba la Nyuki Biharamulo ni kuleta asali moja kwa moja kutoka kwenye mzinga hadi mezani kwako.

Karibu kwa mzigo.

Piga/WhatsApp: +255759886429.

Ndani ya ukimya wa miti, kuna hadithi ya maisha inayoendelea.Karibu Shamba la Nyuki Biharamulo.
05/03/2026

Ndani ya ukimya wa miti, kuna hadithi ya maisha inayoendelea.

Karibu Shamba la Nyuki Biharamulo.

Kabla ya mwaka huu wa 2025 kuisha, hakuna ubaya ukafahamu kuhusu aina na tabia ya asali katika mazingira ya mahitaji yak...
26/12/2025

Kabla ya mwaka huu wa 2025 kuisha, hakuna ubaya ukafahamu kuhusu aina na tabia ya asali katika mazingira ya mahitaji yako.

KITABIA, ASALI YA NYUKI WAKUBWA IKO HIVI;

1. Haina uchachu hata kidogo k**a ilivyo asali ya nyuki wadogo, mara nyingi huwa tamu moja kwa moja.
2. Asali ya nyuki wa aina hii hutofautiana rangi, wakati mwingine inaweza kuwa nyeupe, njano, kahawia na kadhalika. Hii hutokea kutegemeana na malisho ya nyuki (foraging).
3. Ina kiwango cha maji kuanzia 17% na hakizidi 20%, kwa hiyo ni nzito sio nyepesi k**a ile ya nyuki wadogo.

Wakati,

ASALI YA NYUKI WADOGO IKO HIVI;

1. Inaharufu kali kidogo.
2. Ina rangi ya kahawia, mara nyingi kahawia iliyokolea inayoenda kwenye weusi.
3. Huwa nyepesi sana kwani ina kiwango cha maji kinachoanzia 24%.
4. Ni tamu sana but ina ladha ya uchachu kwa mbali kadri ya muda tangu ivunwe.

Kwa mwenye uhitaji kwenye sikukuu hizi, shika simu yako na piga +255759886429. Unaletewa kokote isipokuwa kuzimu, utani.

Karibuni Shamba la Nyuki Biharamulo.

KWANINI UWEKEZE KWENYE UFUGAJI NYUKI WA KISASASahau kuhusu mizinga ya kienyeji na ufugaji wa nyuki uliopitwa na wakati, ...
21/08/2025

KWANINI UWEKEZE KWENYE UFUGAJI NYUKI WA KISASA

Sahau kuhusu mizinga ya kienyeji na ufugaji wa nyuki uliopitwa na wakati, badala yake wekeza kwenye vifaa vya kisasa vya usimamizi wa nyuki.

Je, unajua kwamba mzinga wa Langstroth (pichani) unaweza kutoa takribani kilo 10-15 za asali kwa kila mvuno mmoja?

Ulijua pia kuwa, mzinga wa nyuki unaweza kuvuna mara 3 hadi 5 kwa mwaka, na unahitaji tu nafasi ya futi 20x30 za eneo ili kubeba mizinga 100?

Na kwamba mzinga wa kawaida unaweza kudumu kati ya miaka 20-40 ikiwa unasimamiwa vizuri, na kuwa chanzo cha kipato kwa;

1. Kutoa Kipato mfululizo.
2. Mradi kuhitaji ardhi ndogo.
3. Mradi hauchukui muda mwingi kuanza kuzalisha.
4. Hakuna usimamizi mkubwa.
5. Hakuna gharama kubwa za uendeshaji zinalohitajika.
6. Ni uwekezaji mzuri wa kustaafu.

Shamba la nyuki Biharamulo lina timu iliyobobea na yenye uzoefu kufanya kazi nawe ili kukupa suluhisho kamili la ufugaji nyuki na usimamizi wa mradi wa nyuki. Wasiliana nasi leo kwa +255759886429.

Address

Biharamulo
01

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shamba la Nyuki Biharamulo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category