NULI Machinery

NULI Machinery Distributor of gricultural machineries and spare parts as well as grain processing. based in Kahama and Dar es salaam

15/04/2026

Mashine za Mbao tunazo..
Made in China
Kazi kuranda juu na chini, kuchana, kutoboa n.k
Inchi 12 million 3.5
Inchi 16 million 4.8.
Ubora umehakikiwa.. Ukisimika unasahau shida.

Tupo Dar es salaam, mbezi mwisho barabara ya makabe.
Call 0626751473

30/03/2026

Mashine portable za kusaga na kukoboa nafaka kwa wajasiriamali wadogo wa unga wa sembe, Lishe, viungo n.k zinapatikana kwetu.

Uwezo kilo 100 kwa saa.. mota 5hp single phase (umeme wa nyumbani huhitaji connection zaid).

Inakoboa na kusaga nafaka aina zote (mahindi, mpunga n.k)

Tuna model aina mbili (angalia picha kwenye comment).
Bei ya model N60 ni million 1.8 complete na mota na bei ya N100 ni million 2 complete na mota.

Tupo Mbezi mwisho barabara ya makabe- Dar es salaam tupigie 0626751473

Tunazo mashine za kuranda, Kuchana na kutoboa mbao..Tunauza mashine mpya za kutoka ChinaTunazo inch 12 na inch 16Offa: I...
23/02/2026

Tunazo mashine za kuranda, Kuchana na kutoboa mbao..
Tunauza mashine mpya za kutoka China
Tunazo inch 12 na inch 16

Offa: Inch 12 complete na mota ya 5.5hp- million 3.5 (fixed).
Inchi 16 complete na motor ya 5.5hp- million 4.8.

Call 0626751473- Mbezi mwisho barabara ya makabe- Dar es salaam

11/02/2026

Mashine ya kukata aluminium

Sliding 30cm, inch 10, inakata kulia na kusho nyuzi 45.
Power- 2400W (Heavy duty machine)
Inakata upana wa 10cm

Bei 850,000/= (offa )

Call 0626751473- Mbezi mwisho- barabara ya makabe. Dar es salaam

Follow page yetu kwa offa zaidi

06/02/2026

Randa za umeme zipo
Inch 3.. 1100W
Bei 200,000/=

Mashine za mbao combine (kuranda, kuchana, kunyosha joint, kutoboa n.k) zipo.Mpya, made in China.Inch 12 bei million 3.5...
11/01/2026

Mashine za mbao combine (kuranda, kuchana, kunyosha joint, kutoboa n.k) zipo.
Mpya, made in China.

Inch 12 bei million 3.5 complete na mota 5.5hp
Inchi 16 bei million 4.8.

Call 0626751473
Mbezi luis barabara ya makabe
Dar es salaama

Mashine za kukoboa mpungaSB 10D, na SB 50 zipoCall 0626751473Mbezi luis Dar es salaam
11/01/2026

Mashine za kukoboa mpunga
SB 10D, na SB 50 zipo
Call 0626751473
Mbezi luis Dar es salaam

24/11/2025

Tunasupply mashine mpya za mbao inch 12 na inch 16..
Mashine zina kazi tofauti ikiwemo kulanda, kuchana, kutoboa n.k zote kwenye mashine moja.

Mashine ni imara na zinahimili kazi.
Video chini ni moja ya mashine zetu ambapo zimedhihirisha ubora mkubwa kazini.

Bei kuanzia million 3
Tupigie 0626751473- mbezi mwisho barabara ya makabe- Dar es salaam.

15/10/2025

Kwa wale wanaotamani kuanzisha biashara ya unga wa lishe/sembe/dona n.k. lakini hawana mtaji wa mashine kubwa..

Jipatie mashine hii na hautajutia kamwe. Mshine portable yenye uwezo wa kusaga na kukoboa nafaka aina zote.

Inatumia umeme wa nyumbani hauhitaji connection zaidi. Uwezo wa hadi kilo 200 kwa saa.
Bei million 2 tu ikiwa complete na kila kitu.

Piga 0626751473.. tupo mbezi mwisho barabara ya makabe.
Follow page yetu kwa ofa zaidi.

Distributor of gricultural machineries and spare parts as well as grain processing. based in Kahama and Dar es salaam

OFFA YA MASHINE ZA KULANDA&KUCHANA MBAO!Tunauza mashine za kulanda, Kuchana, kutoboa n.k mbao. Kazi zote ndani ya mashin...
07/09/2025

OFFA YA MASHINE ZA KULANDA&KUCHANA MBAO!

Tunauza mashine za kulanda, Kuchana, kutoboa n.k mbao. Kazi zote ndani ya mashine moja (angalia picha chini)

Mashine zote ni mpya made in China.

Unapewa mashine complete na mota ya 5.5hp (single au three phase ni chaguo lako)

Bei ya mashine inch 12 ni million 3.5 complete.
Bei ya mashine inch 16 ni million 5 complete.

Tupigie 0626751473
Mbezi luis barabara ya makabe.
Follow page yetu kwa offa zaidi.

20/08/2025

Wood electric router tunazo nyingi
Power- 1800W
Tunakupa na bits zake pcs 15.
Bei- 280,000/=
Call/whatsapp 0626751473
Mbezi mwisho barabara ya makabe

10/08/2025

OFFA YA NANE NANE

Hii mashine ya kusaga na kukoboa nafaka aina zote(mahindi, mpunga, mtama n.k.) portable two in one ya uwezo wa kusaga kilo 150 kwa saa na inatumia umeme wa nyumbani yani single phase utaipata kwa bei ya 1,600,000/= tu ikiwa complete na mota yake ya 5hp na kila kitu.

Follow page yetu kwa ofa zaidi

Tupo mbezi mwisho barabara ya makabe
0626751473

Distributor of gricultural machineries and spare parts as well as grain processing. based in Kahama and Dar es salaam

Address

Dar Es Salaam
14124

Telephone

+255626751473

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NULI Machinery posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share