Johjo Ubuyu

Johjo Ubuyu 📚 Mwongozo sahihi kuhusu biashara ya ubuyu
💰We’re shipping worldwide

☎️Call/whatsApp 0628028239

05/08/2026

Tofauti ya wanaopata faida kubwa kwenye biashara ya ubuyu na wanaopata faida ndogo ipo hapa…

Ni namna ambavyo utapimiwa vizuri ubuyu wako sehemu ambayo unaagiza mzigo wako,

Hii unayoiona kwenye video ni maandalizi ya 10kg halisi.
Na hivyo ndivyo tunavyopima oda zote za mizigo yetu kuanzia 5KG hadi 50KG

Ndiyo maana wateja wetu wanapokwenda kuuza, wanarudi kuagiza tena mzigo mkubwa zaidi kwasababu wanapata faida,

Kwasababu tunawapa elimu namna ya kufanya biashara hii kwa ukubwa sana pamoja na kuwashauri ladha nzuri za kuuza pamoja na kupima vizuri

Na k**a unataka kuanza biashara ya ubuyu bila kukosea kwenye vipimo tuma ujumbe sasahivi “NATAKA” inbox tukuongoze kwanza kabla hujaagiza,

👇 Package za jumla: •
5kg — 20,000 (0.5kg BURE)
• 10kg — 39,000 (1kg BURE)
• 20kg — 70,000 (1kg BURE)
• 50kg — 170,000 (1kg BURE)

Una swali? Uliza kwenye comments

29/07/2026

huu ni ubuyu ambao hutajutia kuujaribu.

✅ Ladha ya kipekee
✅ Ubora wa hali ya juu
✅ Unafaa kwa matumizi ya nyumbani au biashara.

💰 Bei:
• Kilo 1 — 20,000 TSH
•Kilo 10 — 180,000 TSH (Unaokoa 20,000 TSH!)

Usisubiri uishe Tuma ujumbe sasa kuweka oda yako, tunakutumia popote ulipo,

📩 Uko tayari kuonja ladha mpya? Andika "ACHARI" kwenye DM au WhatsApp, nasi tutakuelekeza jinsi ya kuagiza na kukuletea popote ulipo.

24/07/2026

Kuna dada alinitafuta na kusema huwa anauza ubuyu mwingi sana lakini haoni faida ingawaje wateja wanaupenda sana ubuyu wake

​Aliniambia: "Kila nikipiga hesabu ya mauzo, naona nimeuza lakini nikirudi sokoni kuchukua mzigo mwingine nakuta mtaji umepungua,

​Unajua kosa lilikuwa wapi? Ni Kwenye kipimo anachotumia

​Alikuwa anapima kwa macho na mazoea na hakujua kuwa punje mbili au tatu za ziada kwenye kila mfuko ndizo zilikuwa faida yake inayopotea.

Baada ya kumsikiliza kwa umakini tukaamua kuweka suluhisho kwa ajiri yako ili usipitie maumivu yake

Yaani kila ukiagiza ubuyu kwetu tutakuwekea kipimo sahihi kulingana na ubuyu unaotaka kuwauzia wateja wako

Tutakupimia kwa usahihi wa hali ya juu ili wewe ukiwa huko mkoani, kazi yako iwe ni kuingiza faida tu siyo kupoteza mtaji.

​Biashara ya ubuyu ni tamu ukiwa na mtu anayejua hesabu za faida yako.

​K**a unataka kuacha kufanya kazi kwa hasara na uanze kuona matunda ya jasho lako, tuma ujumbe neno "NAHITAJI" sasa hivi,

​Tuanze safari yako ya faida ya kudumu leo.

17/07/2026

K**a unapenda ladha tamu yenye harufu halisi ya embe, huu ni ubuyu ambao hutajutia kuujaribu.

✅ Ladha ya kipekee
✅ Ubora wa hali ya juu
✅ Unafaa kwa matumizi ya nyumbani au biashara.

💰 Bei:
• Kilo 1 — 20,000 TSH
•Kilo 10 — 180,000 TSH (Unaokoa 20,000 TSH!)

Usisubiri uishe Tuma ujumbe sasa kuweka oda yako, tunakutumia popote ulipo,

📩 Uko tayari kuonja ladha mpya? Andika "ACHARI" kwenye DM au WhatsApp, nasi tutakuelekeza jinsi ya kuagiza na kukuletea popote ulipo.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Johjo Ubuyu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share