Johjo Ubuyu

Johjo Ubuyu 📚 Mwongozo sahihi kuhusu biashara ya ubuyu
💰We’re shipping worldwide

☎️Call/whatsApp 0628028239
(1)

30/05/2026

Hii ndiyo siri kubwa inayowafanya baadhi ya wafanyabiashara wa ubuyu wapate faida nzuri, huku wengine wakipata hasara bila kujua sababu

Kabla hujaagiza mzigo wako, jambo la kwanza kabisa unalopaswa kuelewa ni jinsi sahihi ya kupima ubuyu wako kwa kila kiasi sahihi unachotaka kuuza kati ya 500tsh au 1000tsh

Watu wengi hupoteza fedha kwa sababu wanaangalia bei pekee, lakini husahau kuangalia kipimo halisi wanachopata baada ya kupima

Ndiyo maana kabla hatujakupokea k**a mteja, ushauri wetu wa kwanza huwa ni kuhakikisha unaelewa mfumo sahihi wa kupima ili ujue faida yako inaanzia wapi.

📩 Andika neno KUPIMA kwenye inbox yetu sasa hivi, nikutumie maelezo kamili yatakayokusaidia kuepuka hasara na kuongeza faida kwenye biashara yako ya ubuyu,

Usinunue mzigo kwanza kabla hujajua hili.

28/05/2026

Moja ya vitu ambavyo hutakiwi kabisa kuvipuuzia k**a unataka kupata faida kwenye biashara ya ubuyu ni KIPIMO.

Watu wengi wanapata hasara si kwasababu ubuyu hauuzi…

Bali kwasababu wanakadiria badala ya kupima kwa usahihi.

Ndiyo maana kabla hatujakuuzia ubuyu kwa bei hizi👇
• Sado — 20,000/=
• Ndoo ndogo — 39,000/=
• Ndoo kubwa — 70,000/=
• Roba la 50KG — 170,000/=

Tunatoa kwanza mwongozo sahihi wa biashara hii ili ujue:

✔️ Ladha zinazotakiwa sana sokoni
✔️ Namna sahihi ya kupima ubuyu
✔️ Jinsi ya kupata faida nzuri
✔️ Makosa ya kuepuka ukiwa unaanza

Biashara ya ubuyu inalipa sana ukifanya kwa usahihi.
K**a unatamani kuanza biashara hii bila kupoteza mtaji wako, tutumie ujumbe wenye neno “NAHITAJI” tukupe mwongozo sahihi wa kuanza biashara yako ya ubuyu.

12/05/2026

Hivi unajua faida kwenye biashara ya ubuyu inategemea sana namna unavyopima pamoja na package unazotumia

Yaani ukikosea kwenye packaging basi utaona faida unayopata ni kidogo sana

Na ndio maana hakikisha unatumia package zenye ujazo wa aina hii ili usipate hasara kabisa bali upate faida nzuri

Na k**a bado hujapata maelezo mazuri ya namna nzuri ya kupima bidhaa yako nitumie ujumbe hapa " SIJAPATA" Ili nikutumie namna nzuri ya kupima kupitia inbox kwako

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Johjo Ubuyu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share