kukuwataifa

kukuwataifa Miradi ya ufugaji na kilimo wenye mashamba, mabanda ya kuku na maduka ya mayai Chato na Kilimanjaro.

Tumefika Geita Mjini, kwa bei ya TZS 8,000 tuu jipatie tray ya mayai mazuri kabisa kutoka Shambani. Tupigie simu namba 0...
09/03/2023

Tumefika Geita Mjini, kwa bei ya TZS 8,000 tuu jipatie tray ya mayai mazuri kabisa kutoka Shambani. Tupigie simu namba 0768 400 017

TZS 8,500 tuu tray ya mayai 30 fresh kabisa kutoka katika Mashamba yetu ya kuku. Duka letu lipo Chato Stand ya zamani au...
08/03/2023

TZS 8,500 tuu tray ya mayai 30 fresh kabisa kutoka katika Mashamba yetu ya kuku. Duka letu lipo Chato Stand ya zamani au unaweza kutupigia simu kwa namba 0768 400 017

TZS 8,500 tuu tray ya mayai 30 fresh kabisa kutoka katika Mashamba yetu ya kuku. Duka letu lipo Chato Stand ya zamani au...
07/03/2023

TZS 8,500 tuu tray ya mayai 30 fresh kabisa kutoka katika Mashamba yetu ya kuku. Duka letu lipo Chato Stand ya zamani au unaweza kutupigia simu kwa namba 0768 400 017

TZS 8,000 tuu tray ya mayai 30 fresh kabisa kutoka katika Mashamba yetu ya kuku. Duka letu lipo Chato Stand ya zamani au...
15/01/2023

TZS 8,000 tuu tray ya mayai 30 fresh kabisa kutoka katika Mashamba yetu ya kuku. Duka letu lipo Chato Stand ya zamani au unaweza kutupigia simu kwa namba 0768 400 017

Mwaka 2022 July niliingiza vifaranga 5,300 vikiwa katika maboksi 52; baada ya kuweka vifaranga wote bandani tukaona mmoj...
14/01/2023

Mwaka 2022 July niliingiza vifaranga 5,300 vikiwa katika maboksi 52; baada ya kuweka vifaranga wote bandani tukaona mmoja kipofu ambaye hakua na macho kabisa.

Kifaranga huyu alikaa bila kula hadi hapo atakapowekwa kwenye chakula.

Na alipowekwa kwenye sahani ya chakula alikula kwa nguvu zote na aliposhiba tulimuweka kwenye maji na alikunywa kweli kweli.

Wakati wote ilikua kazi ngumu sana kumtafuta kati kati ya wenzake 5,300 lakini niliwasisitiza vijana wangu kila siku wahakikishe wanamsaidia apate chakula na maji.

Ilikua kazi ngumu sana lakini waliifanya kwa uaminifu.

Pamoja na changamoto zote za Shamba jipya na uzoefu katika mazingira mapya kuku huyu amekua.

Pamoja na changamoto zake na mahitaji maalumu hadi leo bado nashindwa kutoa maamuzi ya kumtoa shambani. Follow

TZS 8,000 tuu kwa Tray ya Mayai. Duka lipo Chato Stand ya Zamani piga simu namba 0768 400 017 kuweka oda yako.
06/01/2023

TZS 8,000 tuu kwa Tray ya Mayai. Duka lipo Chato Stand ya Zamani piga simu namba 0768 400 017 kuweka oda yako.

Kwa Mayai Bora tumekufikia Chato kwa bei nafuu kabisa piga simu namba 0768 400 017
16/12/2022

Kwa Mayai Bora tumekufikia Chato kwa bei nafuu kabisa piga simu namba 0768 400 017

Samaki wapya na fresh wanakuja, boti zetu kutoka visiwani zinapakua mzigo freshi kuja Dar.Bei zetu ni nafuu sana bipu si...
27/11/2022

Samaki wapya na fresh wanakuja, boti zetu kutoka visiwani zinapakua mzigo freshi kuja Dar.

Bei zetu ni nafuu sana bipu simu yetu mara moja tuu na zikifika tutakujulisha kwa njia ya SMS na kukupa ofa ya bei.

TZS 5,500 jumla na TZS 6,000 rejareja kwa kilo ya Sangara wapya na fresh kutoka ziwa Vuctoria. Bipu namba yetu mara moja...
27/11/2022

TZS 5,500 jumla na TZS 6,000 rejareja kwa kilo ya Sangara wapya na fresh kutoka ziwa Vuctoria.

Bipu namba yetu mara moja wakifika tutakutumia sms na bei ya ofa.

Karibu

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when kukuwataifa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category