02/06/2026
Ukija unakuwa umenyooka ili kuepusha usumbufu tajiri,kazi ya usafi wa kina yani deep cleaning not for the weak🙌
Sasa mimi pamoja na timu yangu tunafanya general deep cleaning (USAFI WA KINA) na kitaalamu kabisa,kwa majengo yaliyo maliza kufanyiwa marekebisho /ujenzi,mfano,appartment,frem,restaurants,n.k pamoja na majengo yanayoendelea kutumika 🖊
GHARAMA ZETU (za makadirio) ZIPO K**A IFUATAVYO
NYUMBA ZA CHINI
Chumba+sebule +jiko+choo Tsh 200,000
Vyumba viwili+sebule+jiko+choo Tsh 350,000
Vyumba vitatu+sebule+jiko+choo Tsh 500,000
Vyumba vinne+ sebule+jiko+ choo Tsh 650,000
FREMU
Chumba kimoja Tsh 100,000
Chumba kimoja + furnitures Tsh 200,000 Nk.
OFISI
Chumba kimoja + furnitures Tsh 150,000
Vyumba viwili with furnitures Tsh 200,000-300,000 Vyumba vitatu + furnitures Tsh 400,000-500,000 Nk.
NYUMBA ZA GHOROFA
Floor moja Milioni 1
Floor mbili Milioni 2
Floor tatu Milioni 3 Nk.
SAMANI
Sofa la mtu mmoja Tsh 20,000
Sofa la watu wawili Tsh 40,000
Sofa la watu watatu Tsh 60,000
MADIRISHA NA VIOO
Dirisha kubwa Tsh 20,000
Madogo free service
FURMIGATION
Nyumba nzima - 150,000 Tsh
Ndani ya nyumba pekeake - 70,000 Tsh
Nje ya nyumba pekeake - 70,000 Tsh
Kwa mawasiliano tupigie kwa 0656822124