Aquinus Poultry FARM

Aquinus Poultry FARM Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Aquinus Poultry FARM, Farm, KIJITONYAMA, AKACHUBE Road, GAMBIA STREET, HOUSE NO. 4, Dar es Salaam.

•Wazalishaji wa Vifaranga vya kuku wa kienyeji mbegu kubwa pamoja na Brahma.

•Aidha tunauza chakula cha kuku.

•PIA TUNAUZA VITABU VINAVYO TOA MUONGOZO SAHIHI YA UFUGAJI WA KUKU.

•Tupo Dar es salaam Kijitonyama

ODA YA VIFARANGA VYA SIKU VYA KIENYEJI MBEGU KUBWA IPO TAREHE 10/07/2026Vifaranga vyetu utauziwa vikiwa vimepata chanjo ...
12/06/2026

ODA YA VIFARANGA VYA SIKU VYA KIENYEJI MBEGU KUBWA IPO TAREHE 10/07/2026

Vifaranga vyetu utauziwa vikiwa vimepata chanjo zote za awali✅ weka ODA

Bei Tsh.2,000 hadi Tsh.3,000 kulingana na mkoa uliopo.

0684414834|| CALL
0655347932|| WHATSAPP

Ofisi zetu zipo Dar es salaam Kijitonyama barabara ya Akachube Mtaa wa Gambia nyumba No 4 wanapo uza kuku.

MIKOANI TUNASAFIRISHA🇹🇿✅

K**a unaona kabisa unatamani kuinua uchumi wako kwa njia ya ufugaji wa kuku a a KIENYEJI lakini hujui utaanzaje ili ufan...
11/06/2026

K**a unaona kabisa unatamani kuinua uchumi wako kwa njia ya ufugaji wa kuku a a KIENYEJI lakini hujui utaanzaje ili ufanikiwe, basi jiunge na group letu la WhatsApp kupitia link iliyopo hapo chini kwa hakika utafanikiwa

MASOMO YATAANZA RASMI TAR 15/6/2026 BUREEEEEE KABISA✅

https://chat.whatsapp.com/DiKLk2pB4pe0Ged3V0mFY4?mode=gi_t

𝗩𝗜𝗙𝗔𝗥𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗞𝗨 𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗬𝗔 𝗕𝗥𝗔𝗛𝗠𝗔Tunauza Vifaranga vya kuku aina ya Brahma vya siku kwa TSH 6,000 tu kila kifaranga.Vifa...
10/06/2026

𝗩𝗜𝗙𝗔𝗥𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗞𝗨 𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗬𝗔 𝗕𝗥𝗔𝗛𝗠𝗔

Tunauza Vifaranga vya kuku aina ya Brahma vya siku kwa TSH 6,000 tu kila kifaranga.

Vifaranga vya wiki kwa 10,000 tu kwa kila kifaranga

Vifaranga vya mwezi kwa TSH 25,000 tu kila kifaranga.

BEI HIZO NI BEZI ZA OFA KWA WATEJA WETU.

....
🐔Vina afya nzuri
🐔Vimeshachanjwa Chanjo za mwanzo.
🐔Mwongozo wa kuwafuga utapewa.
🐔Chakula chao kipo.

Ofisi zetu zipo Dar, Kijitonyama, Barabara ya Akachube, Mtaa wa Gambia, Nyumba namba 4

𝗡𝗔𝗠𝗕𝗔 𝗭𝗔 𝗢𝗙𝗜𝗦𝗜 - 𝗔𝗤𝗨𝗜𝗡𝗨𝗦:

0684414834
0655347932 sms/WhatsApp

Karibuni sana.


JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI KIBIASHARA.06553479320684414834Unapotaka kuanza mradi wa ufugaji kuku wa Kie...
10/06/2026

JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI KIBIASHARA.
0655347932
0684414834

Unapotaka kuanza mradi wa ufugaji kuku wa Kienyeji, kitu cha kwanza cha kuzingatia ni:-

•Lengo lako la kufuga na kufanya biashara ya kuku wa Kienyeji. Lengo linaweza kuwa:-

- Kufuga kuku wa Kienyeji kwa ajili ya kuuza mayai.
- Kufuga kuku wa Kienyeji kwa ajili ya kuuza kuku wa kula au nyama.
- Kufuga kuku wa Kienyeji kwa ajili ya kuuza vifaranga.
- Kupata vitu viwili au vyote vitatu, yaani mayai, nyama na vifaranga.

Lengo utakalochagua hapo juu, ndilo litakalokusaidia kuchagua aina ya kuku wa Kienyeji wa kufuga.
K**a lengo lako ni mayai, fuga kuku anayekupatia mayai mengi kwa mwaka ili uweze kupata faida.

Kuku wa Kienyeji Mbegu Kubwa ndio CHAGUO LAKO. Utagaji wa Jike mmoja kwa mwaka:
- Rhode Island Red anataga mayai 260 kwa mwaka.
- White Leghorn anataga mayai 280 kwa mwaka.
- Black Australorp anataga mayai 250 - 300 kwa mwaka.
- Plymouth Rock anataga mayai 280 kwa mwaka.
- New Hampshire anataga mayai 280 kwa mwaka.
Ufugapo mbegu hizi utapata mayai mengi, utayauza na kupata faida.

Swali kwako mfugaji: Mbegu ya kuku unayofuga sasa inataga mayai mangapi kwa mwaka?

Muhimu: Fuga kwa Lengo
Usifuge kwa sababu rafiki, jirani, ndugu yako anafuga.

Karibu sana Aquinus Farms upate vifaranga vya kuku wa Kienyeji wanaotaga mayai mengi 250 - 300 kwa mwaka, yaani Rhode Island Red, White Leghorn, Black Australorp, Plymouth Rock na New Hampshire, upate faida kupitia ufugaji wa kuku wa Kienyeji.

Kupata mafunzo ya ufugaji kuku hawa Kibiashara kupitia group la WhatsApp:
Bonyeza link hii (maandishi ya Bluu) kuingia kwenye group la mafunzo. (BURE)

https://chat.whatsapp.com/DiKLk2pB4pe0Ged3V0mFY4?mode=gi_t

Kifaranga cha siku moja DAR sh 2,000 na MIKOANI sh 2,200 - 3,000.
Wiki 1 sh 3,000.
Wiki 2 sh 4,000.
Wiki 3 sh 5,000.
Wiki 4 sh 6,000.

Namba ya account ya kulipia vifaranga:
NMB
AQUINUS FARMS LIMITED
24710003488

Tupo Dar, Kijitonyama, barabara ya Akachube, mtaa wa Gambia, nyumba namba 4.
Karibu na kituo kikubwa cha daladala Makumbusho.

AQUINUS FARMS CONTACT
0655347932
0684414834.

ODA YA VIFARANGA VYA SIKU VYA KIENYEJI MBEGU KUBWA IPO TAREHE 06/07/2026Vifaranga vyetu utauziwa vikiwa vimepata chanjo ...
10/06/2026

ODA YA VIFARANGA VYA SIKU VYA KIENYEJI MBEGU KUBWA IPO TAREHE 06/07/2026

Vifaranga vyetu utauziwa vikiwa vimepata chanjo zote za awali✅ weka ODA

Bei Tsh.2,000 hadi Tsh.3,000 kulingana na mkoa uliopo.

0684414834|| CALL
0655347932|| WHATSAPP

Ofisi zetu zipo Dar es salaam Kijitonyama barabara ya Akachube Mtaa wa Gambia nyumba No 4 wanapo uza kuku.

MIKOANI TUNASAFIRISHA🇹🇿✅

ODA YA VIFARANGA VYA SIKU VYA KIENYEJI MBEGU KUBWA IPO TAREHE 30/06/2026Vifaranga vyetu utauziwa vikiwa vimepata chanjo ...
09/06/2026

ODA YA VIFARANGA VYA SIKU VYA KIENYEJI MBEGU KUBWA IPO TAREHE 30/06/2026

Vifaranga vyetu utauziwa vikiwa vimepata chanjo zote za awali✅ weka ODA

Bei Tsh.2,000 hadi Tsh.3,000 kulingana na mkoa uliopo.

0684414834|| CALL
0655347932|| WHATSAPP

Ofisi zetu zipo Dar es salaam Kijitonyama barabara ya Akachube Mtaa wa Gambia nyumba No 4 wanapo uza kuku.

MIKOANI TUNASAFIRISHA🇹🇿✅

Address

KIJITONYAMA, AKACHUBE Road, GAMBIA STREET, HOUSE NO. 4
Dar Es Salaam

Telephone

+255655347932

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Aquinus Poultry FARM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category