Back to Eden Asili Yetu

Back to Eden Asili Yetu Back to Eden Asili Yetu created for Providing Agricultural knowledge & Healthy meals tips for People

27/05/2026
Protein ni muhimu sana kwenye mwili wa binadamu awayeyote. Na mara nyingi walaji na wataalam wa chakula wanapendekeza ul...
22/01/2024

Protein ni muhimu sana kwenye mwili wa binadamu awayeyote. Na mara nyingi walaji na wataalam wa chakula wanapendekeza ulaji wa nyama kwa wingi k**a chanzo kikuu cha protein..
Wataalam wa lishe isiyo a madhara kutoka nchini China wamehimiza usambaaji wa elimu juu ya upatikanaji wa protein kwenye mazao ya mimea tofauti tofauti na kushauri matumizi Zaidi ya vyanzo hivi kuliko nyama ili kuepukana na maradhi yanayoweza kujitokeza k**a Cancer nk...
Ulaji wa Mbogamboga, matunda na nafaka isiyokobolewa, huzalisha kwa wingi hitaji la mwili na kuepusha na kasi ya changamoto za maradhi yasiyoambukiza..

Back to Eden Asili Yetu, ni mpango mzigo wa kukukumbusha faida ya matumizi ya vyakula vya asili ili kukilinda Kizazi Cha sasa na kijacho...

Kindly Like, Comment and Share..

Kilimo kimewaajili watu wengi wa rika tofauti tofauti, vijana, wanawake na wanaume..Mbegu bora zinatoka Epinav Agricultu...
15/01/2024

Kilimo kimewaajili watu wengi wa rika tofauti tofauti, vijana, wanawake na wanaume..
Mbegu bora zinatoka Epinav Agricultural Solutions

Mbegu ya Nyanya *Tanzanite F1* Hapa igunga Tabora Shambani Kwa _Bw Mlela_ 0621407558
Mbegu hii ni Mbegu yenye Uzao mkubwa na inafaa kulimwa Kwa misimu yote ya Kiangazi na Hata Masika, Pia ni Mbegu yenye ukinzani na Changamoto ya Mnyauko.
Kwa Mkulima wa Nyanya Mbegu hii sii ya kukosa,
Mbegu hii Inapatikana popote ulipo.
Kwa Kanda ya Ziwa Piga simu 0712933112
Kanda ya Kaskazini Piga 0755357228
Kanda ya Pwani Piga 0768937709
Nyanda za Juu Kusini Piga 0762796243.
Kanda ya Kati Piga 0683885811

Back to Eden Asili Yetu kwa usitawi wa Kizazi Cha sasa na kijacho, Asili ni chanzo kikuu cha Afya Bora. 🥑🍒🍓🍈🍎🎄🍓🍎🍉🍈🌽🍌🥕🥥🥥🥬🥒🥦🧅🫑🍆🍋🥭🍍🧄

"Watu wengi wanateseka na magonjwa yasiyoambukiza kwa sababu kubwa ya aina ya chakula wanachokula siku hizi."Kauli hii n...
11/01/2024

"Watu wengi wanateseka na magonjwa yasiyoambukiza kwa sababu kubwa ya aina ya chakula wanachokula siku hizi."
Kauli hii ni ya Mama Samia, Rais wa nchi... Unafikili ni aina gani ya chakula inasumbua siku hizi na kupelekea shambulio la maradhi..

Back to Eden Asili Yetu. Kwa manufaa ya Kizazi Cha sasa na kijacho...

Kwa juu juu na haraka binafsi Ninaamini kile mtu anakula kina amua au kinapanga Afya ya Mlaji iwe vipi sasa na baadae......
09/01/2024

Kwa juu juu na haraka binafsi Ninaamini kile mtu anakula kina amua au kinapanga Afya ya Mlaji iwe vipi sasa na baadae....

The Nature Cures..
Let's Go Back to Eden Asili Yetu..

Kindly Like my Page or follow you can invite even some friends of yours...

Some important features to consider before entering the Field for production..1. Know your land and crops.2. Have a plan...
09/01/2024

Some important features to consider before entering the Field for production..

1. Know your land and crops.
2. Have a plan and set goals.
3. Manage your finances carefully.
4. Build relationships with other farmers and experts.
5. Invest in the right equipment.
6. Diversify your income streams.
7. Stay up-to-date on best practices.
8. Be willing to adapt and change.
9. Take care of yourself.
10. Never stop learning.

Get Back to Eden Asili Yetu..
The Nature Cures..
+255 768 937 709.
For Agri-consult...

Hii ni Captain F1. Kwa ubora wake, ustahimilivu, usitawi, ubora wa tunda, nk. Sina mashaka nayo, ni mbegu bora ya nyanya...
08/01/2024

Hii ni Captain F1. Kwa ubora wake, ustahimilivu, usitawi, ubora wa tunda, nk. Sina mashaka nayo, ni mbegu bora ya nyanya kutoka kampuni Bora ya mbegu, Ni EPINAV AGRICULTURAL SOLUTIONS..

Ukweli uko hapa, kuwa na mbegu bora mkononi haitoshi kusema lazima nitafanikiwa, kuna vitu vingi unavihitaji kuambatanisha na mbegu Bora.
Kuingia shambani ni k**a mtu anayeingia kwenye ndoa,.. Kukaa na waliokutangulia itakupa mwanga wa mafanikio dhidi ya changamoto za Shamba.
Kuketi na kusemezana na wataalam wa kilimo itakusaidia kukupa siraha za kupambana vita ya shamba..
Kilimo kinalipa, ila,
Unahitaji kujipanga kabla ya kuanza uzalishaji shambani..
Sema nami kwa simu namba 0768937709 kwa muongozo na ushauri wa kitaalamu juu ya kilimo..

"Turejee Eden Asili Yetu kwa usitawi wa Kizazi Cha sasa na kijacho, jali mlo wako, Asili ni Tiba."

Agriculture is really science though not all scientist are agriculturists..!! Keep on practicing, you can master and ach...
08/01/2024

Agriculture is really science though not all scientist are agriculturists..!! Keep on practicing, you can master and achieve on it.. 0768 937 709 I can help you..

Watafsili mtanisaidia kwenye Comments zenu tunufaike wote.. Mimi nimeelewa ila kubadili lugha sijui. Nisaidie kutafsili ...
07/01/2024

Watafsili mtanisaidia kwenye Comments zenu tunufaike wote.. Mimi nimeelewa ila kubadili lugha sijui. Nisaidie kutafsili please..

Hapo kwako unaelewa na kuitendea kazi..!
06/01/2024

Hapo kwako unaelewa na kuitendea kazi..!

UKWELI WA MAMBO..Ingawa kwa jamii zetu asilimia kubwa mkulima anaonekana kudharauliwa k**a mtu aliyekosa kazi ya Kufanya...
05/01/2024

UKWELI WA MAMBO..

Ingawa kwa jamii zetu asilimia kubwa mkulima anaonekana kudharauliwa k**a mtu aliyekosa kazi ya Kufanya kujiingizia kipato, Lakini ukweli ni kwamba Kazi ambayo alipewa mwanadamu au mtu wa kwanza ni Kulima, (Kutunza Bustani).
Na katika hili, Baraka nyingi sana zimeamliwa na Muumbaji.
Ni ukweli usiopingika kuwa kila mtu mwenye uhai anamhitaji mkulima ili aendelee kuishi katika afya njema..
Kwa wale wanaotumia neno serikali imesahau, Basi moja ya mtendaji mwaminifu aliyesahaulika kwa swala la masilahi ni mkulima,. Kauli hii ni dhahili kwa wale wakulima wenye uwezo mdogo, maana ufanyia kazi tumbo na wakati mwingine isitoshe.. Kwa wale wenye mitaji mkubwa ndio wenye ujasili wa kusimama na kusema hakuna kazi yenye faida k**a Kilimo.
Naam, ni Ukweli Usiopingika kuwa kilimo ni ajira tamu sana , ni kazi yenye faida kubwa kwa mtu aliyedhamilia kulima kibiashara,..
Kilimo hakitaki papala, maana ni kazi inayoendeshwa na maarifa ya Kisayansi, mazoea na kuiga imewafanya wengi wanakichukia Kilimo kwa maarifa maarufu k**a ujuaji na mwisho wa siku wameanbulia patupu..
Mpangilio wa Lishe uanzia shambani, mababu zetu waliishi miaka mingi ya nguvu za mwili kwa vyakula walivyokula wakati huo, vyakula visivyochakachuliwa, yaana vyakula vya asili. Ni Ukweli Usiopingika Leo ukisasa na ubunifu umeleta vyakula laini na visivyomuandaa mtu kuishi miaka mingi yenye afya njema..

Back to Eden Asili Yetu imedhamilia kutoa huduma ya kueneza Elimu juu ya Kilimo na Umuhimu wa kula Chakula bora kwa usitawi wa Kizazi Cha sasa na kijacho...
Twende Pamoja bila kusahau Mbegu bora kutoka EPINAV AGRICULTURAL SOLUTIONS..
Nyanya
Captain F1
BANSAL F1
SALINA F1
Tanzanite F1
Hoho
Supreme F1
Gambia F1
Cabbage
Tunu F1
Vitunguu
Red Planet F1
Tikiti maji
Jumbo F1
Bila kusahau mbolea za maji, ambazo soon zitakuwa sokoni kwa manufaa ya mkulima wa Kitanzania..
Weka order yako popote ulipo ujipatie bidhaa bora kwa shamba lako....

Address

Kimara Terminal
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Back to Eden Asili Yetu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share