kuku_beinafuu_dodoma

kuku_beinafuu_dodoma Kuku chotara wanapatikana kwa bei ya 15,000....wapo mipango dodoma
Tupigie 0752-396249

08/09/2026

☎️☎️0752-396249
kienyeji kifaranga 2,200/-
Chotara 2,000/-
Malawi 2,500/-
Broila 2,200/-
Reeltab Tech

01/09/2026

Jifunze kuhusu azola na faida zake kwa kuku
☎️☎️0752-396249

28/08/2026

Haya jamani…..kwa baadhi tunafanya delivery…..karibuni sana ☎️☎️0752-396249

28/08/2026

Layers farming….ufugaji wa kuku wa mayai ☎️☎️0752-396249

28/08/2026

Broila wanapatikana kila jumanne dodoma ☎️☎️ 0752-396249 box 220,000/-

28/08/2026

Mafua ya kuku nayo ni changamoto sana ukiona dalili k**a hii chukua hatua ☎️☎️0752-396249

27/08/2026

Jipatie vifaranga wa kuku wa malawi kwa bei ya 2,500/- tunapatikana dodoma tupigie ☎️☎️0752-396249

25/08/2026

Makosa matano ya kuepuka ukiwa unalisha kuku wako

1. Uwekaji wa chakula, inabidi ujue ni kiasi gani cha chakula uweke.
Usiweke tuu chakula kwa kuhisi hiki kingi au kinatosha, jitahidi ujue kiasi gani kuku wako wanahitaji na inabidi ujue ni kiasi gani wanakula kwa siku.
Chakula kidogo sana hakikuzi kuku na kingi sana kina ongeza upotezefu wa chakula.👌🏼

2. Kujaza chakula kwenye malishio hadi juu (ukomo)
Hii nayo inapoteza chakula kirahisi sana, feeder ikijaa kupita kiasi kuku wanaparua na kumwaga chakula sana, weka ujazo unaotakiwa sio hadi juu kabisa👌🏼

3. Ubadilisha chakula gafla;
Kwa kawaida tunasema 75/25 alafu 50/50 alafu 25/75 kila inapotakiwa kuwapa chakula tafauti, mf; kutoka starter kwenda grower, kuku wanahitaji kuzoea chakula kipya taratibu, kubadilisha gafla kunaleta stress kwa kuku hivyo ukuaji hubadilika.👌🏼

4. Kuacha chombo cha chakula kibichi au kikiwa kichafu;
Maji yakimwagikia kwenye chakula hata kidogo tuu ni kheri kutoa chakula kuliko kuona uvivu na kuacha kutoa, ni chanzo kikubwa cha magonjwa kwa kuku, jitahidi kutoa chakula kilichogusana na maji.👌🏼

5. Kutokuacha nafasi nzuri ya vyombo vya chakula;( spacing)
Unaweza kua na vyombo vya kutosha na bado kuku hawashibi, broila wavivu vyombo inabidi vipqngwe vizuri,
Kuku wenye nguvu watakula zaidi wakati wale walegevu hawatashiba, jitahidi kuwatenga kuku wale wakubwa na wadogo ila nao wapate chakula na wakue vizuri.👌🏼

Kumbuka kukuza kuku sio tu chakula cha gharama au kizuri ni kuhusu,
😊JINSI UNAVYOKIPIMA KWA KUKU😳
😊KAMA JE KUKU WOTE WANAPATA,
😊JINSI UNAVYOWAWEKEA.
Hapa ndo sisi wafugaji wengi tunapoteza pesa na kulalamika ufugaji mgumu
🤣☎️☎️0752-396249

25/08/2026

🕹️Oder ya vifaranga ya mayai ipo tarehe 08/09
🕹️ vimebakia vifaranga 400 tuu
🕹️ hatuweki oder ambayo haijalipiwa ndugu zangu
🕹️ tunapatikana kwa number 0752-396249
🕹️ ni watagaji wazuri sana na mayai yao unaweza kuuza k**a ya kienyeji
🕹️ matunzo mazuri kwa kuku ndio ubora wa kuku wako
🕹️ bei ni 2,500 kwa kifaranga
🕹️ karibuni sana

25/08/2026

Kuku chausumbufu dodoma
Karibu ujipatie vifaranga vizuri vya broila chotara kienyeji na wa malawi kwa bei rafiki ☎️☎️ 0752-396249

Address

Mipango
Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when kuku_beinafuu_dodoma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share